Posts

Showing posts from February, 2018

Interiors sc,say "he is read to wash his hand but not regret after deported minguna miguna

http://news-af.op-mobile.opera.com/news/detail/7c4d177bc470dccdb405d722677d4f7c_ke?share=1

Dada mmoja anusuri kifo baada ya kujitupa kwa maji ferry.

Binti mwenye umri wa makamo alijitupa ndani ya maji wakati ferry ilipokuwa ikivuka. Abiria waliokuwepo karibu na yeye waliona tayari amejirusha pasipokujua chanzo ni  nini. Wakati huo huo wanaume walijitolea kupambana na maji ili kunusuru maisha ya banati huyo. Haraka haraka walifanikiwa kumuopoa . Na binti huyo  alipoulizwa anadai (maisha yamekuwa tete kwake). Imekuwa desturi ya kivuko hicho ambapo watuwengi huona hapo  ndio mahali sahihi pa kutatua msongo wa  mawazo. Swali ni je, kujiuwa ndio suluhisho ya majanga?

Tanzania hadi lini watawaandama waandishi wa habari ambao ni kiungo muhimu kwa jamii.!??

Take a look at @patahabari's Tweet: https://twitter.com/patahabari/status/710941097531457536?s=09