Dada mmoja anusuri kifo baada ya kujitupa kwa maji ferry.

Binti mwenye umri wa makamo alijitupa ndani ya maji wakati ferry ilipokuwa ikivuka.

Abiria waliokuwepo karibu na yeye waliona tayari amejirusha pasipokujua chanzo ni  nini.

Wakati huo huo wanaume walijitolea kupambana na maji ili kunusuru maisha ya banati huyo.

Haraka haraka walifanikiwa kumuopoa .
Na binti huyo  alipoulizwa anadai (maisha yamekuwa tete kwake).

Imekuwa desturi ya kivuko hicho ambapo watuwengi huona hapo  ndio mahali sahihi pa kutatua msongo wa  mawazo.

Swali ni je, kujiuwa ndio suluhisho ya majanga?

Comments

Popular posts from this blog

Kwale Doctors Strike Enters Day 3 Amid Chaos, Unpaid Salaries, and Deteriorating Healthcare Services

Lack of focus on sanitation and hygiene interventions puts children at risk of death due to bacterial infections causing diarrhea in Kilifi County.

CHAMA CHA UZALENDO CHA TISHIA KUJIONDOA KATIKA MUUNGANO WA AZIMIO