Kim Kardashian anataka wafungwa wakike wakaguliwe na Askari wakike.

Mwanamitindo na mtangazaji wa televisheni nchini Marekani, Kim Kandashian West, ametaka ukaguzi magerezani ufanyiwe mabadiliko, ili wafungwa wakike wakaguliwe maungoni mwao na Askari wakike na wala si pamona na wanaume kama ilivyo sasa.
 
Aliyasema hayo pale alipotembelea magereza ya wanawake alipofungwa maisha mwanamke, Alice Marie Johnson kwa kujihusisha na madawa ya kulevya ambapo ombi hilo kwa Raid Donald Trump wa Marekani ili amsamehe mwanamke huyo.

Ombi la mageuzi hayo yalifikisha kwa gavana, jerry Brown aliyesema wanalifanyia kazi sala hilo ambalo linaonekana kama unyanyasaji wa kijinsia magerezani.

Comments

Popular posts from this blog

Kwale Doctors Strike Enters Day 3 Amid Chaos, Unpaid Salaries, and Deteriorating Healthcare Services

Lack of focus on sanitation and hygiene interventions puts children at risk of death due to bacterial infections causing diarrhea in Kilifi County.

CHAMA CHA UZALENDO CHA TISHIA KUJIONDOA KATIKA MUUNGANO WA AZIMIO