Posts

Showing posts from November, 2022

VITA YA MAZENSE NA MABIBO KUAMULIWA KESHO KINESI.

Image
        Bondia Roja Mjeshi wa kwanza kulia huku kushoto kwake  Mpinzani wake Said Macho wakiwa kwenye picha ya pamoja mara baada ya kumalizika zoezi la kupima uzito Lililofanyika Uwanja wa Las Vegas Mabibo Mahakama ya Ndizi Jijini Dar es salaam leo Novemba  19,2022  wakijindaa na Pambano La "Dar Boxing Derby " linalotarajiwa kufanyika Novemba 20,2022 Uwanja wa Kinesi Dar es salaam Na.Khadija Seif Tz  MABONDIA wapewa fursa tena Msimu wa tatu wa Pambano la "Dar boxing derby " kesho Novemba 20,2022  huku Mabondia wahaidi kufanya vizuri ili kuleta hamasa kwa waandaaji (Peaktime)kuendelea kuwakumbuka na kuwapa nafasi  Mabondia chipukizi. "Tumeonyesha njia kwenye Mapambano makubwa na sasa tunachukua furusai ya kuwapa nafasi Mabondia wadogo wenye vipaji  ili wakajaze nafasi za mabondia ambao wamemaliza muda wao ( wastaafu ). Pambano la boxing derby" kwa zaidi ya Msimu wa tatu mahususi kwa mabondia wenye vipaji vichanga na vipya kwa Ji...

Low wage while working in a high risk area.

Image
Picture Caro Katana Story Caro Katana, kwale.  Journalism is a calling,so they say. In Kenya there is a saying: if you want to be rich, become a tenderprenuer. if you want to be famous, get into the entertainment industry and if you want to remain poor be a journalist. Take an example of a journalist working in bandit prone areas, covering terrorism stories and earning  Kes 5,000 equivalent to 41.68 dollars at the end of the month? Mark you...her safety and security not even guaranteed from any party...be it the bandit or the police...but at the end of the day he/she is expected to inform the populace what is happening. For Maureen Ndamwe...that was the life she was used to for 9 years while working for a local radio station in Turkana County. To her, how she managed through those years still amazes her.   Turkana county in Kenya is known for 4 things... 1. Being the only place in Kenya where the government has struck oil....2. Being the face of ravishing famine every tim...

She for who?

Image
  Picture by Caro Katana Story By Caro katana. No story is worth dying for....is a saying that most journalist are usually reminded off while in the line of duty. But then again the right to inform the public of what is happening is what has made journalism the most powerful tool of putting governments into account.   The threat to female journalists is real especially reporters who covers investigative pieces, terrorism, sensitive court proceeding, crime and politics....   Tears of agony ran down her chics when she recalls how she could have lost her life for bringing to the public a story about drug trafficking in Lamu county.   Working as a correspondent for a local radio station in Lamu county, Mwanaharusi Rashid dream was to specialize on investigative journalism. As a young journalist, The excitement to uncover, hunt and expose the men behind the I'll in society was abundant. Little did she know she would become the hunted for airing a court story about drug tr...

It’s my right to be safe ,,feature

Image
   Picha by Caro Katana     Story by Caro , Kwale A mans home is his castle, but for some women a mans home is her cage. The fight against Gender based violence is more prominent today as it was in the 1980s. Rights abuses meted on women  and girls by the superior gender to show that they dominate them.,Since 1991, human rights organizations globally have been fighting against gender based violence that has  mostly  affected girls and women. The sad thing is that , the violence against women are usually carried out by people closely related t0  victims . There is lack of up to date national data on the prevalence of domestic violence in Kenya  but time bound data shows how often the violence could be happening . According to the 2014 published data, around 41 percent of women reported  having experienced physical or sexual violence from their husbands . The World Health Organisation points out that as many as 38 percent of all murder cas...

wavuvi watano wazuiliwa Somalia

Image
Picha kwa hisani. Mwandishi, Shokah Juma ;Kwale. Wavuvi watano kutoka eneo la Shimoni hukoLungalunga kaunti ya Kwale wanazuiliwa nchini Somalia katika mji wa Mudoa Kwa majuma mawili sasa. Wavuvi hao ambao wamezuiliwa na polisi nchini humo kutokana na kutoelewana na muajiri wao anayedai kulipwa fidia ya shilingi laki moja kabla ya kuwaruhusu kurudi nyumbani. Wakiongozwa na Mohamed Omari Mgala akizungumza kupitia njia ya simu Mgala amesema kuwa wanaishi katika mazingira magumu tangu kukamatwa kwao na kuitaka serikali kufanya jitihada ili kuwarejesha nyumbani salama. Miongoni waliozuiliwa ni pamoja na Omari Shee,Hamisi Zito,Kimosha Abdallah na Abdallah Gwashe wote hao ni wavuvi walioenda somali kwa shughuli za uvuvi almaaarufu DAGO ambapo wavuvi huchukuliwa na matajiri ili kuwafanyia biashara ya kuwavulia kwa kipindi cha miezi mitatu au sita. Wavuvi hao walikua miongoni mwa wavuvi 12 waliofululiza Hadi nchini Somalia kuendeleza shughuli za uvuvi kupitia usimamiza wa mfanyibiashara mmoja m...

Dodging bullets in Kenya’s ‘bandit zone’

Image
 PEACE AND SECURITY Threats that silence: When I almost died in line of duty By Caroline Katana  November 10, 2022 Journalists are targeted for many reasons and by many people, women journalists and media personnel have been increasingly exposed to violence, with the number of women journalists killed globally, rising steadily since 2010. Promoting the safety of journalists and combatting impunity for those   PEACE AND SECURITY Threats that silence: When I almost died in line of duty By Caroline Katana  November 10, 2022  0 Comment Journalists are targeted for many reasons and by many people, women journalists and media personnel have been increasingly exposed to violence, with the number of women journalists killed globally, rising steadily since 2010. Promoting the safety of journalists and combatting impunity for those who attack them are central elements within UNESCO ‘a support for freedom on all media platforms. The threat to female journalists is rea...