WAAMUZI WA KIKE KWALE ON 4TH OCT 2024 LEO TV


Idadi ya marefa wa kike wanaosimamia mechi za ligi za shirikisho la kandanda nchini (FKF) kaunti ya kwale inaendelea kuongezeka baada ya akina dada 8 kufuzu.

Wanane hao wakiwa ni miungoni mwa wengine 26 ambao wamepokea ufadhili huo kupitia shirika la samba sports youth agenda na kampuni ya uchimbaji madini ya base titanium kutoka kaunti ya kwale. 

Ongezeko hilo la waamuzi wakike ni mikakati ilowekwa na shirikisho la kandanda ulimwenguni kufikia elfu 2 na 32 timu za wanawake zi simamiwe na wanawake wenyewe.

Comments

Popular posts from this blog

Kwale Doctors Strike Enters Day 3 Amid Chaos, Unpaid Salaries, and Deteriorating Healthcare Services

Lack of focus on sanitation and hygiene interventions puts children at risk of death due to bacterial infections causing diarrhea in Kilifi County.

CHAMA CHA UZALENDO CHA TISHIA KUJIONDOA KATIKA MUUNGANO WA AZIMIO