Posts

Showing posts from July, 2025

UTAMADUNI NA MILA ZA TUMIKA KUJENGA AMANI

Image
Vijana wameonywa kutokana na kutumia mitandao ya kijamii vibaya na kujiingiza kwenye hanasa, jambo linalochangia kuongezeka kwa kuporomoka kwa maadili. Kwa muji wa wazee kutoka jamii ya wadigo eneo la msambweni wamekiri kuwa kuporomoka kwa maadili kwenye jamii kumechangiwa na vijana kuigiza mila za kigeni. Mila na desturi ni muhimili mkubwa kwa jamii za kiafrika, kudumisha amani na kuongeza ujamaa ambao hutafautishwa kutokana na makabili au maeneo wanayotoka.

Viongozi wawajibike na kutekeleza ahadi zao

Image
ijana wameonywa kutokana na kutumia mitandao ya kijamii vibaya na kujiingiza kwenye hanasa, jambo linalochangia kuongezeka kwa kuporomoka kwa maadili. Kwa muji wa wazee kutoka jamii ya wadigo eneo la msambweni wamekiri kuwa kuporomoka kwa maadili kwenye jamii kumechangiwa na vijana kuigiza mila za kigeni. Mila na desturi ni muhimili mkubwa kwa jamii za kiafrika, kudumisha amani na kuongeza ujamaa ambao hutafautishwa kutokana na makabili au maeneo wanayotoka. Kwenye kikao cha empower her, shine with peace kupitia mradi wa tujenge amani uliofadhiliwa na We World na mashirika rafiki, mkurugenzi wa shirika la Msambweni Queens Biasha Jasho amesema vijana wajiepushe na utumiaji mbaya wa utandawazi na kufata mila zilizobora. Katibu kutoka kaya Diani amesema kupuuzwa kwa tamaduni na kufata mila za watu wengine kumechangia utovu wa usalama hasa kwa jamii za mwabao. Kwa mtazamo wa ulezi wa mtoto kwa mila zinazotokana na Dini Sheikh Sadik Mwamure kutoka msambweni amesema licha ya uwezo waliopewa ...

Gwajima Ashauri Maboresho Reform za Msingi Zifanyike CHADEMA Waingie ...

Image

UKOSEFU WA UFADHILI WAZIMA MAFANIKIO WASANII

Image

Vijana kukumbatia amani

Image

How East Africa’s Thriving Honeymoon Market Shapes Cross-Border Tourism

Image
  By Carol Samini Katana (Kenya) On the sunlit shores of Diani Beach in Kenya, Francis and Joyce, a newlywed couple from Uganda, stroll barefoot across the warm sands, laughter rising above the soft murmur of waves. For them, this goes beyond a honeymoon. It's a celebration of culture and the ease of moving freely within East Africa.   Their romantic getaway was made possible by relaxed border restrictions, regional cooperation, and a shared vision of turning Africa’s cultural and natural diversity into a hub for intra-continental honeymoon tourism. Diani Beach, Kenya[/caption] Meanwhile, for another couple, Abdirasul Mohammed and Nusyibah Juma, love found its rhythm not only in Zanzibar but also in the gentle waves of Kenya’s southern coastline.   “We chose to come to the Kenyan coast for our honeymoon because we were looking for a calm, peaceful place by the ocean. We believe the sea is one of Africa’s greatest inheritances,”...

How East Africa’s Thriving Honeymoon Market Shapes Cross-Border Tourism

Image
  By Carol Samini Katana (Kenya) On the sunlit shores of Diani Beach in Kenya, Francis and Joyce, a newlywed couple from Uganda, stroll barefoot across the warm sands, laughter rising above the soft murmur of waves. For them, this goes beyond a honeymoon. It's a celebration of culture and the ease of moving freely within East Africa.   Their romantic getaway was made possible by relaxed border restrictions, regional cooperation, and a shared vision of turning Africa’s cultural and natural diversity into a hub for intra-continental honeymoon tourism. Diani Beach, Kenya[/caption] Meanwhile, for another couple, Abdirasul Mohammed and Nusyibah Juma, love found its rhythm not only in Zanzibar but also in the gentle waves of Kenya’s southern coastline.   “We chose to come to the Kenyan coast for our honeymoon because we were looking for a calm, peaceful place by the ocean. We believe the sea is one of Africa’s greatest inheritances,” Abdirasul says thoughtfully. ...

Kwale Doctors Strike Enters Day 3 Amid Chaos, Unpaid Salaries, and Deteriorating Healthcare Services

Image
Msambweni referal hospital  By : Caroline Katana Tension flared outside Msambweni County Referral Hospital on Tuesday  morning as doctors staging a peaceful press briefing were forcibly dispersed by individuals believed to be hired goons a move the Kenya Medical Practitioners, Pharmacists and Dentists Union (KMPDU) Coast region has strongly condemned. According to the doctors, the group led by a woman identified as Asha Makei, popularly known as “Mama Miraa” interrupted their media engagement, hurling accusations and insisting that the medics had no right to strike. goons  "We are the ones who gave them these jobs, and we are the patients. If they can't work, they should resign. We have children with qualifications but no jobs while doctors are playing around with theirs,” Makei shouted, claiming the doctors were too busy with their private clinics allegedly stocked with drugs from public hospitals. Mohamed Ali Maingu echoed the same sentiments, urging the doctors to acce...