Posts

Makala ya soka ni amani, sio nguvu mtaani.

Image
timu ya vijana wakiwa na mabango ya kuhimiza ujumbe wa amani. Taarifa  yake: Caroline Katana  Mataifa mengi  ya Afrika yamekuwa yakikabiliwa na changamoto za kiusalama ,makundi yenye silaha yakionekana kuongezeka licha ya juhudi  za serikali  za kikanda na ukanda kuimarisha usalama pamoja  na kutuma vikosi  vya polisi kuyakabili  makundi yenye silaha. Serikali barani afrika   hutunga  sheria ,kuweka kamera za siri ,kuongeza na kuimarisha  vikosi vya mafisa wa usalama katika maeneo hatari  ,hata hivyo ingawa mbinu hizo hufaulu  kwa kiwango Fulani ,bado hazitatui   chanzo hasa  cha tatizo ,ukweli ni kwamba  matendo ya watu hutegemea tamaa zao,mtazamo wao na mambo wanayoamini . Tuliishi  maisha ya  kawaida mwanzoni ,hatukuwazia  kuvamiwa na wezi  wenye silaha lakini sasa  hakuna usalama tena ,iwe mjini au kijijini ,kuporomoka kwa uchumi  kumefunua kwamba watu ni wenye pupa na hawah...

GRASSROOTS ORGANISATIONS IN KWALE URGED TO COLLABORATE FOR SUSTAINABILITY

Image
  Dutch MOFA representative  Julia Munsters alongside Kwale PGM2 beneficiaries. BY :Caroline Katana  In the past, we raised money simply by asking through crowdfunding sites, mails, in person and at events. Today there are more non-profits than ever which means more people than ever are doing the asking and the competition is heavy and donors are savvier. Donors know good fundraising when  they see it  and they  are steering  clear of the bad stuff ,they are tired  of being “ hit up  for money “, they expect more and want to see a good  return on their investment  in organizations ,they want satisfaction  from their giving  experience . Every donor want  to know  organization’s trustworthy ,the difference made by organization ,the outcome ,appreciated  ,feel good  about their experience ,they  don’t want to be  hounded about more money  ,heart –warming  stories ,clear explanation of ...

Watoto wanaougua magonjwa ya moyo ya kuzaliwa wana matumaini ya kuishi hadi uzeeni endapo watagundulika na kupatiwa matibabu ya haraka.

Image
hospitatali ya rufaa ya msambweni, kwale. Taarifa  yake : Caroline Katana  Lucy Kadzo katika kijiji cha Menza Mwenye  ,Lungalunga  kaunti ya Kwale ni kati ya watoto waliopona ugonjwa wa moyo wa kuzaliwa (congenital heart disease ) baada ya kugunduliwa na kupata tiba ya haraka  katika hospitali ya rufaa ya Msambweni . Mtoto Lucy mwenye umri wa  miaka 8 , grade ya pili  ,aligundulika akiwa na umri wa  mwaka mmoja  katika hospitali ya Lungalunga  kabla ya kutumwa katika hospitali ya rufaa ya Mswambweni kwa uchunguzi zaidi. Joyce Dama  Tsuma mama  wa watoto wawili  , anasema kuwa  alianza safari ya matibabu  ya kifungua mimba wake Lucy   mwaka 2017 , japo  kueleza  safari  ya kutafuta matibabu ya mwanawe kukosa   matumaini  kufuatia gharama za juu za matibabu  ya moyo ,mwanawe  Lucy  sasa  ni buheri wa afya baada ya wahisani kujitokeza na kufadhili matibabu yake . “ N...

Kenyan Journalists and human rights defenders cry for their freedom

Image
   EU Ambassador Henriette Geiger  with other delegates posing for a photo By :  Caroline Katana  Media freedom  and human rights defenders  are  at risk globally, this is according  to the  ambassador of the European Union  to  Kenya  Henriette Geiger. Geiger  said  that attacks  against journalists   online with duty  are still being witnessed around the world despite the measures taken to counter it. The ambassador was speaking  during 2nd Annual Media - Civil society organizations   conference held in  Nairobi  with the theme “"Safeguarding Freedoms in the Digital Age, Protecting Voices, Advancing Technology, and Ensuring Access".                                                EU ambassador Henriette Geiger  The conference  was organized  by ...